Skip to content
Home/ Tunu ya Mashairi
Tunu ya Mashairi

Tunu ya Mashairi

No customer reviews yet ISBN 9798374686999

Tunu ya Mashairi ni kitabu cha kifasihi am-bacho kina mkusanyiko wa mashairi ambayo yanazungumzia maswala yanayokumba jamii ya sasa. Uzuri wa mkusanyiko wa mashairi haya unafunua maudhui na faida zinazoto-kana na maudhui zinazozungumziwa.

Katika diwani hili, maudhui yaliyoangaziwa ni: Ufisadi, uozo, ugomvi, imani, usaliti, uandishi, marafiki, zawadi, dini, uongozi bora, utengano, shibe, tamaa, uongo, ubad-hirifu, unafiki, uchochole, wizi, utamaduni, upole, kiburi, fanaka, bidi, ukiritimba, urithi, chuki, siri, mihadarati, tuhuma, dhuluma, upelelezi, kejeli, uzinzi, uchawi, elimu, matu-si, shukrani n.k.

Mbinu za malenga zinatumika katika mashairi hayo. Kila la heri unapojipanga kuyasoma, kukariri na kuyaimba mashairi hayo.

About the author

Product details

Pub dateFeb 13, 2023
ISBN-109798374686999
ISBN-139798374686999
LanguageEnglish
Last updated 2026-09-09 08:43
$16.76 $19.00 11% off
You save $2.24 · list price $19.00
In stock — ships in 24 hours with free tracking
Delivery by Monday, September 14, 2026
Qty
Sign in to Add to Saved list
Free delivery on orders over $35.
15-day returns. Any reason.
Secure checkout. We never store card details.